Warsha ya
Kuongeza uwezo kwa makundi ya wanawake na Asasi za kutetea haki za wanawake juu
ya haki za wanawake, kimataifa, Africa na sheria za ndoa, mirathi na wosia
Tanzania. Warsha hiyo ilifanyika katika ukumbi wa Anglikana-Musoma tarehe 13-15
Agosti, 2013
Warsha hiyo
iliendeshwa na na Asasi ya Women in Law and Development in Africa (WiLDAF). WiLDAF ni mtandao, na Tanzania makao makuu yake yako
Dar es Salaam, Mikocheni. Kila raia ana wajibu wa kufanya ili kulinda haki zake
vinginevyo haki zake huweza kuvunjwa. Alisema mwezeshaji Destalia Haule kutoka
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC). Bwana Aliko Sengo mwezeshaji toka
WiLDAF aliseme elimu hii washiriki waliyoipata waipeleke katika jamii, na kutoa
kisha wito
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !