WiLDAF KUONGEZA UWEZO KWA MAKUNDI YA WANAWAKE NA ASASI ZA KUTETEA HAKI ZA WANAWAKE-MUSOMA

Sunday, August 18, 2013



Warsha ya Kuongeza uwezo kwa makundi ya wanawake na Asasi za kutetea haki za wanawake juu ya haki za wanawake, kimataifa, Africa na sheria za ndoa, mirathi na wosia Tanzania. Warsha hiyo ilifanyika katika ukumbi wa Anglikana-Musoma tarehe 13-15 Agosti, 2013

Warsha hiyo iliendeshwa na na Asasi ya Women in Law and Development in Africa (WiLDAF). WiLDAF  ni mtandao, na Tanzania makao makuu yake yako Dar es Salaam, Mikocheni. Kila raia ana wajibu wa kufanya ili kulinda haki zake vinginevyo haki zake huweza kuvunjwa. Alisema mwezeshaji Destalia Haule kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC). Bwana Aliko Sengo mwezeshaji toka WiLDAF aliseme elimu hii washiriki waliyoipata waipeleke katika jamii, na kutoa kisha wito



Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Followers

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. TZ Youth Potentials - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Inspired by Sportapolis Shape5.com
Proudly powered by Blogger