Ivi ni vikundi vya ujasiriamamli kata ya chamanzi manispaa ya Temeke wakijifunza utengenezaji wa sabuni za maji, mafunzo haya yalitolewa na wakufunzi willson mwilinge na Dismass nyamanda
Mafunzo haya yalifanyika katika ukumbi wa COMFORT uliopo chamanzi Tarehe 27-28 mwezi june 2017.
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !