TYPs-ASSOCIATION (Asasi ya Maendeleo ya Vijana na Haki za Wanawake na Watoto) wakishirikiana na SHirika ya ABC
Foundation(Shirika la Kutetea Haki za Wanawake na Watoto) chini ya kampeni ya TUNAWEZA. Kampeni hii iliweza Asasi na wadau mbalimbali kuvunja ukimya juu ya ukatili majumbani na jamii kuona kwamba ukatili si sehemu ya maisha, hata hivyo jamii ilitambua maana, aina na nini kifanyike kutokomeza ukatili wa kijinsia/nyumbani.
Kampeni ya TUNAWEZA Tanzania
inasimamiwa na Oxfam, WLAC, KIVULINI na Haki Madini ikitekelezwa na wadau
mbalimbali wa mashirika haya, ikiwa ni pamoja na ABC Foundation (Shirika la
Kutetea Haki za Wanawake na Watoto) chini ya Shirika la KIVULINI. Lengo Kuu la
Kampeni ya Tunaweza: Kupunguza Ile Khali ya
Jamii Kuona Ukatili ni Kitendo cha Kawaida au ni Sehemu ya Maisha. Jamii
itambue kuwa kwa pamoja tunaweza kuondoa aina zote za ukatili wa
kijinsia/nyumbani.
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !