AFRICAN BARRICK GOLD WATOA MILION 10 KWA REDS MISS MARA

Friday, June 14, 2013

Ofisa kutoka kitengo cha Mawasiliano na
Mahusiano wa Barrick Gold Mining Fatuma Mssumi akimkabidhi Kaimu Ofisa Tawala
wa Mkoa wa Mara mfano wa hundi yenye thamani ya Shilingi milioni 10, ikiwa ni
sehemu ya udhamini wa kampuni hiyo kwenye mashindano la Redd’s Miss Mara
yatakayofanyika leo mjini Musoma.
Baadhi ya washiriki wa shindano la Redd’s Miss
Mara 2013 wakiwa katika picha ya pamoja jana ikiwa ni siku moja kabla ya
warembo hao hawajapanda jukwaani kuwania taji hilo ambalo linashikiliwa na Miss
Tanzania namba mbili 2012. Shindano hilo linataraji kufanyika leo.

 Baadhi ya washiriki wa Redd’s Miss Mara 2013 wakiwa wenye furaha.
Baadhi ya warembo wakiwa katika pozi
Baadhi ya washiriki wa shindano la Redd’s Miss
Mara 2013 wakitembea kwa pamoja leo ikiwa ni siku moja kabla ya
warembo hao hawajapanda jukwaani kuwania taji hilo ambalo linashikiliwa na Miss Tanzania namba mbili 2012. Shindano hilo linataraji kufanyika leo.
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Followers

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. TZ Youth Potentials - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Inspired by Sportapolis Shape5.com
Proudly powered by Blogger