Tanzania ni nchi ya pekee inayosifika kwa amani duniani na hii ni kutokana na nguvu kubwa iliyofanywa na baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere. Na kweli kwa enzi zake kulikuwa hakuna haja ya kujiuliza maswali juu ya amani yetu. Lakini kwanzia tumpoteze Mwasisi wetu amani yetu imekuwa ikiyumba yumba kila kukicha kwa sababu kumekuwa kukitokea matatizo na matukio ya uharifu kila kikicha na hiki ni kiashirio tosha cha kushuka kwa amani yetu.
Nawaasa watanzania wote waone kama kutunza amani ni jukumu la kila mtanzania na si Serikali pekee.
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !