Mafunzo haya yalifanyika katika ukumbi wa COMFORT uliopo chamanzi Tarehe 27-28 mwezi june 2017.
Saturday, July 1, 2017
Ivi ni vikundi vya ujasiriamamli kata ya chamanzi manispaa ya Temeke wakijifunza utengenezaji wa sabuni za maji, mafunzo haya yalitolewa na wakufunzi willson mwilinge na Dismass nyamanda
Mafunzo haya yalifanyika katika ukumbi wa COMFORT uliopo chamanzi Tarehe 27-28 mwezi june 2017.
Mafunzo haya yalifanyika katika ukumbi wa COMFORT uliopo chamanzi Tarehe 27-28 mwezi june 2017.
Friday, March 31, 2017
HAYA NI MAFUNZO YALIYOTOLEWA MKOA WA PWANI WILAYA YA MKULANGA
HAWA NI WAJASILIAMALI WA WILAYA YA MKULANGA WAKIPATA MAFUNZO YA UJASILIAMALI
LENGO LA MAFUNZO HAYA NI KUISAIDIA JAMII IWEZE KUJIKOMBOA KIUCHUMI
MAFUNZO HAYA YALIFANYIKA TAREHE 29/12/2016 KATIKA WILAYA YA MKULANGA
HAYA NI MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WA KUJIAJIRI VIJANA YALIYOTOLEWA MKOA WA DAR ES SALAAM, MANISPAA YA ILALA, KATA YA
GONGO LA MBOTO.
MAFUNZO HAYA YA UJASILIAMALI YALIFANYIKA TAREHE 3/11/2016
VIJANA MNATAKIWA MTUMIE FURSA HII MUWEZE KUNUFAIKA
HIZI NI BIDHAA AMBAZO TUNAWAFUNDISHA WAJASILIAMALI UTENGENEZAJI WA SABUNI,UTENGENEZAJI WA SWETA,NA N.K. TAASISI YETU INA WAKUFUNZI BORA AMBAO WANATOA MAFUNZO YENYE VIWANGO VIZURI
TAASISI YETU INATOA MAFUNZO YA KILIMO KWA WAJASILIAMALI
TANZANIA YOUTH POTENTIALS ASSOCIATION INAPATIKANA MUSOMA AMBAPO NI MAKAO MAKUU NA TAWI LAKE LIPO DAR ES SALAAM, MANISPAA YA ILALA KATA YA GONGO LA MBOTO KARIBUNI VIJANA NA AKINA MAMA MPATE MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WA KUJIAJIRI
MAWASILIANO:
0714-845940/0758 679661
TAASISI YETU IMEKUWA IKITOA MSAADA KWA VIKUNDI MBALIMBALI IKIWEMO VITENDEA KAZI VYA UJASILIAMALI KAMA VILE MALI GHAFI ZA UTENGENEZAJI WA SABUNI, ZANA ZA KILIMO, MIKOA ILIYONUFAIKA NI MKOA WA PWANI, WILAYA YA MKULANGA ,MKOA WA MARA WILAYA YA TARIME NA SERENGETI. HIZI NI WILAYA AMBAZO ZIMENUFAIKA NA MIRADI YETU
HAYA NI MAFUNZO YA UJASILIAMALI YALIYOFANYIKA KATIKA MKOA WA MARA WILAYA YA MUSOMA VIJIJINI YALIFANYIKA MWEZI WA 8 MWAKA 2016 LENGO LILIKUWA KUISAIDIA JAMII IONDOKANE NA UMASIKINI
TUNATOA MAFUNZO YA UTENGENEZAJI WA MIZINGA YA UDONGO AMBAYO NI BORA KWA UFUGAJI WA NYUKI
TANZANIA YOUTH POTENTIALS ASSOCIATION TUMEKUWA TUKISHIRIKIANA NA TAASISI MBALIMBALI KUFANYA KAZI ZA KIJAMII KAMA VILE JUHUDI FOUNDATION,MWAMBAO ORGANIZATION, INTERNATIONAL EDUCATORS TRUST FUND TANZANIA,NA TUWAFIKIE TANZANIA. TUNAZIKARIBISHA TAASISI MBALIMBALI TUWEZE KUFANYA KAZI ZA KIJAMII
UANDAAJI WA BWAWA LA SAMAKI
BWAWA LA SAMAKI AMBALO LIMESHAKAMILIKA
HAYA NI MABWAWA AMBAYO YAMEKOSA MAJI TUNAWAKARIBISHA WAJASILIAMALI MUWEZE KUJIFUNZA UFUGAJI WA SAMAKI NA ATHARI ZAKE
TYP INATOA NAFASI ZA KUJITOLEA LENGO NI KUWAJENGEA UWEZO VIJANA WA KUFANYA KAZI ZA KIJAMII NA KUWA NA UWEZO MBALIMBALI WA TAALUMA ZAO
MWISHO WA MAOMBI HAYA NI TAREHE 6/5/2017 KWA MAWASILIANO
0714 845940/0758 679661
HAYA NI MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WA KUJIAJIRI VIJANA YALIYOTOLEWA MKOA WA DAR ES SALAAM, MANISPAA YA ILALA, KATA YA
GONGO LA MBOTO.
MAFUNZO HAYA YA UJASILIAMALI YALIFANYIKA TAREHE 3/11/2016
HIZI NI BIDHAA AMBAZO TUNAWAFUNDISHA WAJASILIAMALI UTENGENEZAJI WA SABUNI,UTENGENEZAJI WA SWETA,NA N.K. TAASISI YETU INA WAKUFUNZI BORA AMBAO WANATOA MAFUNZO YENYE VIWANGO VIZURI
TAASISI YETU INATOA MAFUNZO YA KILIMO KWA WAJASILIAMALI
TANZANIA YOUTH POTENTIALS ASSOCIATION INAPATIKANA MUSOMA AMBAPO NI MAKAO MAKUU NA TAWI LAKE LIPO DAR ES SALAAM, MANISPAA YA ILALA KATA YA GONGO LA MBOTO KARIBUNI VIJANA NA AKINA MAMA MPATE MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WA KUJIAJIRI
MAWASILIANO:
0714-845940/0758 679661
TAASISI YETU IMEKUWA IKITOA MSAADA KWA VIKUNDI MBALIMBALI IKIWEMO VITENDEA KAZI VYA UJASILIAMALI KAMA VILE MALI GHAFI ZA UTENGENEZAJI WA SABUNI, ZANA ZA KILIMO, MIKOA ILIYONUFAIKA NI MKOA WA PWANI, WILAYA YA MKULANGA ,MKOA WA MARA WILAYA YA TARIME NA SERENGETI. HIZI NI WILAYA AMBAZO ZIMENUFAIKA NA MIRADI YETU
UANDAAJI WA BWAWA LA SAMAKI
BWAWA LA SAMAKI AMBALO LIMESHAKAMILIKA
TYP INATOA NAFASI ZA KUJITOLEA LENGO NI KUWAJENGEA UWEZO VIJANA WA KUFANYA KAZI ZA KIJAMII NA KUWA NA UWEZO MBALIMBALI WA TAALUMA ZAO
MWISHO WA MAOMBI HAYA NI TAREHE 6/5/2017 KWA MAWASILIANO
0714 845940/0758 679661
16 Days of Activism 2016
Sunday, November 6, 2016
16 days of activism 2016
From
25 November, the International Day for the Elimination of Violence against
Women, to 10 December, Human Rights Day, the 16 Days of
Activism against Gender-Based Violence Campaign is a time to
galvanize action to end violence against women and girls around the world. The
international campaign originated from the first Women's Global Leadership
Institute coordinated by the Center for Women's Global Leadership in 1991.
In
2016, the UNiTE campaign strongly emphasizes the need for sustainable financing
for efforts to end violence against women and girls towards the fulfilment of
the 2030 Agenda for Sustainable Development.
One
of the major challenges to efforts to prevent and end violence against women
and girls worldwide is the substantial funding shortfall. As a result,
resources for initiatives to prevent and end violence against women and girls
are severely lacking. Frameworks such as the Sustainable Development Goals, which includes a
specific target on ending violence against women and girls, offer huge promise,
but must be adequately funded in order to bring real and significant changes in
the lives of women and girls.
To
bring this issue to the fore, the UN Secretary-General’s campaign UNiTE to End
Violence against Women’s call for the 16 Days of Activism against Gender-Based
Violence in 2016 is ‘Orange the World: Raise Money to End Violence against Women
and Girls’. The initiative provides a moment to bring the issue of
sustainable financing for initiatives to prevent and end violence against women
to global prominence and also presents the opportunity for resource
mobilization for the issue.
The
United Nations Official Commemoration of the International Day for the
Elimination of Violence against Women will take place on 21 November from 10
a.m. – 12 p.m. EST. Save the Date!
- “Ending violence against women and girls is essential for communities, societies and whole economies to be prosperous and peaceful”—Executive Director
- In Albania, football and a mobile app get men to commit to gender equality
- Killing women means society pays the ultimate price
“Copied from UN WOMEN
“
PROGRAM YA UHAMASSHAJI NA MAFUNZO KWA VIJANA.
Friday, January 9, 2015
PROGRAM YA UHAMASSHAJI NA MAFUNZO KWA VIJANA.
Katika mikakati ya kuhamasisha vijana na kuwawezesha kiuchumi, na kijamii, Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imeandaa na kuendesha program ya mafunzo kwa vijana. Tar 22-24, Desemba 2014 maafisa wa wizara walikuwa mkoani Arusha wakitoa mafunzo hayo kwa halimashauri ya Arusha Jiji, Arusha DC, Meru na Monduli.
Katika mikakati ya kuhamasisha vijana na kuwawezesha kiuchumi, na kijamii, Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imeandaa na kuendesha program ya mafunzo kwa vijana. Tar 22-24, Desemba 2014 maafisa wa wizara walikuwa mkoani Arusha wakitoa mafunzo hayo kwa halimashauri ya Arusha Jiji, Arusha DC, Meru na Monduli.
Kutokana na umuhimu wa mafunzo haya halimashauri zilizobaki
zinatakiwa kuendesha mafunzo haya ifikapo Februari 30, 2015, kwa kushirikiana na maafisa wa mkoa na halmashauri husika. Mada
zilizofundishwa ni pamoja na:-
i.
Sera ya taifa ya maendeleo ya Vijana ya
mwaka 2007
ii.
Stadi za maisha
iii.
Dhima ya uanzishwaji wa SACCOS za vijana
iv.
Mwongozo wa uandaaji katiba
v.
Mwongozo wa utoaji wa
mikopo ya mfuko wa maendeleo ya vijana kwenye miradi
vi.
Usajiri wa vikundi vya vijana
vii.
Namna ya kuandika miradi
Mada zote nimeziambatanishwa jiandaeni
kufanikisha zoezi hili. Aidha mambo ya msingi yatokanayo ni:-
i.
Mikopo ya vijana toka mfuko wa vijana
unaosimamiwa na wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo. Kwa kuanzia wizara
imetenga kiasi cha shilingi milioni 30 kwa vikundi 3 kila halmashauri na fedha
hizo zitapita kwenye SACCOS za vijana.
ii.
Uanzishwaji wa SACCOS ya vijana kwa kila
halimashauri. Mpaka sasa ni halimashauri tatu tu zilizotekeleza agizo hili kati
ya halmashauri saba; ambazo ni halmashauri
ya Karatu; SIMBA MASAI SACCOS LTD, Halmashauri ya Meru; MERU VIJANA SACCOS LTD;
na Halmashauri ya Longido; LONGIDO VIJANA SACCOS LTD.
Halmashauri
zilizokwisha sajiri SACCOS za vijana ifikapo tarehe 30 Januari, 2015 ziwe zimekwisha wasilisha maandiko ya miradi yasiopungua manne kwa Afisa Maendeleo
ya Vijana Mkoa tayari kutumwa wizarani.
Sambamba
na haya utekelezaji wa agizo la Rais katika sherehe za maadhimisho ya kilele
cha mbio za Mwenge wa Uhuru 2014 mkoani Tabora kuhusu maswala ya vijana ikiwa
ni pamoja na zoezi la uanzishwaji wa SACCOS za Vijana kama ifuatavyo:-
i.
Kutenga 5% ya mapato ya halmashauri kwa
ajili ya kuwawezesha vijana. Naomba utekelezaji wake ipasavyo.
ii.
Maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya shughuli za
vijana ili kujikwamua kiuchumi; hususani shughuli za kilimo na biashara.
UZINDUZI: SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA 2014
Friday, November 21, 2014
Umma wa watanzania wanaharakati wa kupinga vitendo vya Ukatili wa Kijinsia jumanne tarehe 25, Novemba 2014 watazindua kampeni hii kitaifa, kimkoa na maeneo mbalilmbali ya kiutendaji. Hii ni kampeni ya siku 10 na huzinduliwa tarehe 25, Novemba ya kila mwaka hadi tarehe 10, Desemba.
Kitaifa itazinduliwa pale Viwanja vya Karimjee
kuanzia saa 3 asubuhi. Uzinduzi huu utafuatana
na maandamano ya amani yakihamasisha jamii kuachana na Vitendo vya
Ukatili wa Kijinsia, kuanzia viwanja vya mnazi mmoja kupitia, barabara ya Morogoro,
barabara ya Bibi Titi Mohamed, Ali Hassan Mwinyi,Mtaa wa Ohio, Samora hadi
Viwanja vya Karimjee. Yote haya yataanza saa 1:30 asubuhi.
Kauli Mbiu ya mwaka huu ni “FUNGUKA! FICHUA UKATILI WA KIJINSIA KWA AFYA YA JAMII” ,Katika Kiingereza, “OPEN UP! DISCLOSE GENDER BASED VIOLENCE FOR THE HEALTH OF THE COMMINITY”
Kauli Mbiu ya mwaka huu ni “FUNGUKA! FICHUA UKATILI WA KIJINSIA KWA AFYA YA JAMII” ,Katika Kiingereza, “OPEN UP! DISCLOSE GENDER BASED VIOLENCE FOR THE HEALTH OF THE COMMINITY”
Kampeni
hii kitaifa inaratibiwa na Shirika na WiLDAF kwa kushirikiana na Wadau toka
Irish AID na UN Women.
Watanzania
tupinge Vitendo vyote vya Ukatili wa Kijinsia, vitendo hivi huongeza mzigo kwa
maendeleo ya jinsi zote, familia, jamii husika na taifa kwa ujumla.
AJIRA: VIJANA AMBAO HAWAKUBAHATIKA KUENDELEA NA MASOMO.
Kundi
hili ni kundi linalojumuisha vijana wengi zaidi kuliko lile la vijana wasomi.
Vijana wengi walioko katika kundi hili ni wale walioko katika ajira zisizo
lasmi kama vile; uvuvi, kilimo, kubeba
mizigo, ufugaji, machinga, garage, udereva wa magari na pikipiki (Bodaboda),
ulinzi, vibarua vya ujenzi, vibarua katika sekta ya madini, migahawa/ vibanda
vya lishe na kuchoma chips, saloon, uselemala, vibarua viwandani n.k
1.
Tafsiri
Baadhi ya Maneno
Ajira: Ni shughuli yoyote halali (rasmi au
isiyo rasmi), inayomwezesha mwananchi kujipatia riziki, mahitaji na kipato cha
kuendesha maisha yake, ya familia na pengine kuchangia katika pato la eneo
alipo au Taifa.
Kutokuwa
na ajira: Ni hali ya kukosa kazi kabisa au nguvukazi iliyopo
kutotumika kuzalisha mali au kutoa huduma.
Kijana: Zipo tafsiri aina mbili;
i)
Kimataifa; Kijana ni mtu mwenye umri wa
miaka 15 hadi 24
ii)
Kwa Tanzania ni miaka 15 hadi 35
Sekta
isiyo rasmi: Hii ni sekta ambayo si ya shambani wala
ofisini, ya kiwango cha chini na ya kujiajiri inayotumia mtaji na teknolojia ndogo.
Fursa: Ni
shughuli za kiuchumi na kijamii au za uzalishaji mali au huduma ambazo
hutekelezwa na mtu na kuweza kumpatia kipato halali.
2.
Fursa
ya Uvuvi na Uzaji wa Samaki-Kisiwani Lukuba
Sekta
ya Uvuvi ni moja ya sekta iliyoajiri vijana wengi hapa Tanzania, Kisiwa cha
lukuba ni moja ya Visiwa vilivyoko mkoani Mara chenye fursa kubwa ya ajira ya
kujiajiri.
Kisiwa
hiki kinatoa fursa nyingi za ajira ya kujiajiri kwa vijana hususani wale ambao
hawakubahatika kwendelea na masomo. Fursa za ajira ni uvuvi unaoambatana na usafirishaji,
uchakataji, uchuuzi wa samaki na uzalishaji viwandani, ujenzi wa mitumbwi/boti
za uvuvi.
Kisiwa
hiki kinategemea shughuli ya uvuvi na uuzaji wa samaki hususani samaki aina ya Dagaa na Sangara
(Nile perch). Uvuvi katika kisiwa hiki unatoa mchango mkubwa katika kuinua
kiwango cha maisha ya vijana hawa, wananchi wa Musoma na nchi kwa ujumla. Hata hivyo, fursa bado ni kubwa kwa
wawekezaji wengi kuwekeza katika eneo hili.
Serikali
inatakiwa kuongeza juhudi za makusudi kuhakikisha uendelevu wa raslimali ya
uvuvi ambayo ni msaada mkubwa kwa taifa. Aidha inatakiwa kuliangalia eneo hili
kwa makini ili kuwawezesha vijana hususani kundi hili ambalo halikubahatika
kuendelea na masomo yao.
3. Changamoto
ya Jumla Kuhusu Ajira ya
Vijana ambao Hawakubahatika Kuendelea na Masomo.
Kundi
hili ni kundi linalojumuisha vijana wengi zaidi kuliko lile la vijana wasomi, kwa mtazamo wa haraka kundi hili la
vijana ni kama limesahulika.; changamoto zinazolikabili kundi hili
ni pamoja na:-
·
Hali ya kutokuwa na fursa ya kushiriki
katika uchumi inayosababishwa na uwezo mdogo katika mitaji, ukosefu wa ujuzi na
uzoefu wa biashara, pamoja na matatizo yanayohusiana na kutokopesheka.
·
Hali ya kutopata fursa ya kushiriki katika fursa
za kiuchumi katika mfumo rasmi
·
Kutopokelewa na jamii katika mtazamo chanya;
kunakoleta tafasili kandamizi kwao kama vile tafasiri ya wahuni na watu
waliofeli maisha, tafasili ambayo hupelekea vijana hao kuwa hivyo.
·
Uhusiano mdogo wa kundi hili na sekta rasmi,
taasisi binafsi na za umma; na Serikali kwa ujumla
4. Nini
Kifanyike
Wadau
wote wa maendeleo ya vijana (serikali, jamii, sekta binafsi, Asasi za kijamii,
familia na vijana wenyewe) kuwa karibu sana na kundi hili kama walezi na walimu; na kutekeleza wajibu huu ipasavyo
Vijana
kuchangamkia fursa na kuzitumia ipasavyo katika kuwekeza na kuzalisha (Saving
and Production). Ogopeni semi kama vile: Tumia pesa ikuzoee, elfu moja
haijengi, raha jipe mwenyewe, kula ujana maisha yenyewe mafupi n.k
Maeneo
haya yenye kuwaajiri vijana walioko katika kundi hili, yakipewa kipaumbile na
kutengenezwa kuwa mazingira rafiki ya kujiajiri yatapunguza kwa kiasi kikubwa
kero ya ajira kwa vijana na taifa kwa ujumla.
By:
Mr. Japheth M. Kurwa
Falsafa
yangu ni:- “JUHUDI ZISIZOKOMA KATIKA KUJIFUNZA NA KUFANYA KAZI”