Karibu Musoma Information Center kwa huduma zifuatazo:- 1) Kwa kutengenezewa design mbalimbali kama za Business card, Vipeperushi, mabango mbalimbali, kadi za Harusi za kisasa zaidi, kadi za mialiko mbalimbali, Vitambulisho vya wanafunzi wa sekondari na katika kampuni mbalimbali ( ID cards) na kadi nyinginezo zenye design ya kuvutia. 2) Kutengenezewa mabango ( Posters) mbalimbali zinazohusu biashara ya mhusika au bidhaa mbalimbali. 3) Kutengenezewa nembo ( LOGO) za kuhusiana kampuni au biashara yako. 4) Tunatengeneza tovuti ( Websites ) zenye kiwango ambacho huwezi amini kama zinatengenezwa musoma, kwa bei nafuu ambayo huwezi ipata kwingine isipo kuwa kwetu. 5) Mwisho tunatoa ushauri na elimu kuhusiana na maswala ya computer.5) Sisi ni watengenezaji wa blog zinazokaa mfumo wa website. kama hii unayoiona.

Welcome to TYPS - ASSOCIATION

Welcome to TYPS - ASSOCIATION

Welcome

A Letter from the Executive Director

Dear All,

As Executive Director it is my pressure to welcome you to TANZANIA YOUTH POTENTIALS ASSOCIATION (TYPs-ASSOCIATION)-a growing youth-led Organization with it’s headquarter in Musoma that operates through legal registration number 00NGO/00006304 under the ACT of 2002 in Tanzania. The focus of the organization is to utilize youth’s potentials for their own development, community and state development at large. It also intends to strengthen regional and international interventions towards protection and promotion of the human rights especially to children, youth and women. It works with networking with other partners/ stakeholders and beneficiaries.

The Organization has the mission of striving and inheriting youth and other community groups with various technical capacities eligible to make them be engines for socio-economic growth for individual benefits, societies and the national at large as such to see a community in which women’s and children’s rights are observed and respected by executing mobilization projects eligible to bring positive changes to community through action and participation in collaboration with community and other stakeholders to prevent Gender Based Violence (GBV).

However the organization is dedicated to develop dynamic and entrepreneurial youths who will engage and realize their full potential and that of their community, their country and the world at large and advocating The National Youth Development Policy

The Secretariat , the Board of Directors and the Annual General Meeting of TYPs-ASSOCIATION eagerly anticipate your arrival and contribution to its future, and welcome you to discover youth development experience that promotes your Personal and intellectual growth

Welcome to TYPs-ASSOCIATION,
Mr. Japheth M. Kurwa
Executive Director


MIDAHALO YA WAZI NA SINEMA KUZUIA UKATILI WA KIJINSIA

Thursday, September 26, 2013

TYPs-ASSOCIATION (Asasi ya Maendeleo ya Vijana na Haki za Wanawake na Watoto) wakishirikiana na SHirika ya ABC Foundation(Shirika la Kutetea Haki za Wanawake na Watoto) chini ya kampeni ya TUNAWEZA. Kampeni hii iliweza Asasi na wadau mbalimbali kuvunja ukimya juu ya ukatili majumbani na jamii kuona kwamba ukatili si sehemu ya maisha, hata hivyo jamii ilitambua maana, aina na nini kifanyike kutokomeza ukatili wa kijinsia/nyumbani.
Kampeni ya TUNAWEZA Tanzania inasimamiwa na Oxfam, WLAC, KIVULINI na Haki Madini ikitekelezwa na wadau mbalimbali wa mashirika haya, ikiwa ni pamoja na ABC Foundation (Shirika la Kutetea Haki za Wanawake na Watoto) chini ya Shirika la KIVULINI. Lengo Kuu la Kampeni ya Tunaweza: Kupunguza Ile Khali ya Jamii Kuona Ukatili ni Kitendo cha Kawaida au ni Sehemu ya Maisha. Jamii itambue kuwa kwa pamoja tunaweza kuondoa aina zote za ukatili wa kijinsia/nyumbani.
 
Sambamba na midahalo hiyo jioni iliambatana na maenesho ya sinema za kupinga ukatili wa kijinsia/nyumbani kama vile Neria na Narando.

KILIMO KAMA MKOMBOZI WA VIJANA NI CHANGAMOTO

Thursday, September 19, 2013

Kijana Esogo Kubega, mkazi wa Kigera-Manispaa ya Musoma, akijibidisha katika shughuli za kilimo cha bustani kama ajira yake. Japo mafanikio yapo lakini nina changamoto kubwa ya maji kwani maji haya ni ya dibwini na upatikana kwa muda mfupi tu mara baada ya musimu wa mvua, Mungu akinifungulia milango nikapata kuchimba kisima cha kudumu na mashine ya kumwagilia naamini sitokuwa na haja ya kuajiliwa kwani hapa ndipo penye riziki yangu. Lakini pia nina changamoto ya magonjwa, mwaka jana nililima tikiti maji zikashambuliwa na wadudu na mwaka huuu nimebadilisha na kulima nyanya nako tazama zilivyoshambuliwa na wadudu, hii yote ni ukosefu wa mitaji. Mbona mkoa wa Mara sera ya kilimo kwanza siioni au ni maalumu kwa mikoa Fulani tu, kama ni ya kitaifa basi itukumbuke nasi pia twahiitaji, Alisema Kijana Esogo Kubega.
Napenda kumshukuru Bw. Kurwa, mkurugenzi wa Asasi ya Maendeleo ya Vijana na Haki za Wanawake na Watoto (TYPs-ASSOCIATION) kwa kutuwezesha kupata elimu ya ujasilia mali kwa kiasi kikubwa elimu hii imetupa mwanga mkubwa wa kazi zetu za kilimo na ujasilia mali. Wakipatikana watu kama hawa 10 mbona ukombozi kwa vijana umepatikana. Ugumu ni kujitafutia mtaji mwenyewe na khali huna hata mia mfukoni kwangu mimi mtaji ni kikwazo kikubwa sana ningekuwa mbali, Esogo alizidi kusema. Picha na TYPs-ASSOCIATION



Followers

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. TZ Youth Potentials - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Inspired by Sportapolis Shape5.com
Proudly powered by Blogger