Karibu Musoma Information Center kwa huduma zifuatazo:- 1) Kwa kutengenezewa design mbalimbali kama za Business card, Vipeperushi, mabango mbalimbali, kadi za Harusi za kisasa zaidi, kadi za mialiko mbalimbali, Vitambulisho vya wanafunzi wa sekondari na katika kampuni mbalimbali ( ID cards) na kadi nyinginezo zenye design ya kuvutia. 2) Kutengenezewa mabango ( Posters) mbalimbali zinazohusu biashara ya mhusika au bidhaa mbalimbali. 3) Kutengenezewa nembo ( LOGO) za kuhusiana kampuni au biashara yako. 4) Tunatengeneza tovuti ( Websites ) zenye kiwango ambacho huwezi amini kama zinatengenezwa musoma, kwa bei nafuu ambayo huwezi ipata kwingine isipo kuwa kwetu. 5) Mwisho tunatoa ushauri na elimu kuhusiana na maswala ya computer.5) Sisi ni watengenezaji wa blog zinazokaa mfumo wa website. kama hii unayoiona.

Welcome to TYPS - ASSOCIATION

Welcome to TYPS - ASSOCIATION

Welcome

A Letter from the Executive Director

Dear All,

As Executive Director it is my pressure to welcome you to TANZANIA YOUTH POTENTIALS ASSOCIATION (TYPs-ASSOCIATION)-a growing youth-led Organization with it’s headquarter in Musoma that operates through legal registration number 00NGO/00006304 under the ACT of 2002 in Tanzania. The focus of the organization is to utilize youth’s potentials for their own development, community and state development at large. It also intends to strengthen regional and international interventions towards protection and promotion of the human rights especially to children, youth and women. It works with networking with other partners/ stakeholders and beneficiaries.

The Organization has the mission of striving and inheriting youth and other community groups with various technical capacities eligible to make them be engines for socio-economic growth for individual benefits, societies and the national at large as such to see a community in which women’s and children’s rights are observed and respected by executing mobilization projects eligible to bring positive changes to community through action and participation in collaboration with community and other stakeholders to prevent Gender Based Violence (GBV).

However the organization is dedicated to develop dynamic and entrepreneurial youths who will engage and realize their full potential and that of their community, their country and the world at large and advocating The National Youth Development Policy

The Secretariat , the Board of Directors and the Annual General Meeting of TYPs-ASSOCIATION eagerly anticipate your arrival and contribution to its future, and welcome you to discover youth development experience that promotes your Personal and intellectual growth

Welcome to TYPs-ASSOCIATION,
Mr. Japheth M. Kurwa
Executive Director


Friday, March 31, 2017

MAFUNZO YA UJASILIAMALI YANAYOTOLEWA NA TANZANIA YOUTH POTENTIALS ASSOCIATION

HAYA NI MAFUNZO YALIYOTOLEWA MKOA WA PWANI WILAYA YA MKULANGA
 HAWA NI WAJASILIAMALI WA WILAYA YA MKULANGA WAKIPATA MAFUNZO YA UJASILIAMALI
LENGO LA MAFUNZO HAYA NI KUISAIDIA JAMII IWEZE KUJIKOMBOA KIUCHUMI
MAFUNZO HAYA YALIFANYIKA TAREHE 29/12/2016 KATIKA WILAYA YA MKULANGA
 HAYA NI MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WA KUJIAJIRI VIJANA YALIYOTOLEWA MKOA WA DAR ES SALAAM, MANISPAA YA ILALA, KATA YA 
GONGO LA MBOTO.
 MAFUNZO HAYA YA UJASILIAMALI YALIFANYIKA TAREHE 3/11/2016
VIJANA MNATAKIWA MTUMIE FURSA HII MUWEZE KUNUFAIKA

 HIZI NI BIDHAA AMBAZO TUNAWAFUNDISHA WAJASILIAMALI UTENGENEZAJI WA SABUNI,UTENGENEZAJI WA SWETA,NA N.K.  TAASISI YETU INA WAKUFUNZI BORA AMBAO WANATOA MAFUNZO YENYE VIWANGO VIZURI
TAASISI YETU INATOA MAFUNZO YA KILIMO KWA WAJASILIAMALI  
 TANZANIA YOUTH POTENTIALS ASSOCIATION INAPATIKANA MUSOMA AMBAPO NI MAKAO MAKUU NA TAWI LAKE LIPO DAR ES SALAAM, MANISPAA YA ILALA KATA YA GONGO LA MBOTO KARIBUNI VIJANA NA AKINA MAMA MPATE MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WA KUJIAJIRI 
MAWASILIANO:
0714-845940/0758 679661
TAASISI YETU IMEKUWA IKITOA MSAADA KWA VIKUNDI MBALIMBALI IKIWEMO VITENDEA KAZI VYA UJASILIAMALI KAMA VILE MALI GHAFI ZA UTENGENEZAJI WA SABUNI, ZANA ZA KILIMO, MIKOA ILIYONUFAIKA NI MKOA WA PWANI, WILAYA YA MKULANGA ,MKOA WA MARA WILAYA YA TARIME NA SERENGETI. HIZI NI WILAYA AMBAZO ZIMENUFAIKA NA MIRADI YETU 

 HAYA NI MAFUNZO YA UJASILIAMALI YALIYOFANYIKA KATIKA MKOA WA MARA WILAYA YA MUSOMA VIJIJINI YALIFANYIKA MWEZI WA 8 MWAKA 2016 LENGO LILIKUWA KUISAIDIA JAMII IONDOKANE NA UMASIKINI
TUNATOA MAFUNZO YA UTENGENEZAJI WA MIZINGA YA UDONGO AMBAYO NI BORA KWA UFUGAJI WA NYUKI 
 TANZANIA YOUTH POTENTIALS ASSOCIATION TUMEKUWA TUKISHIRIKIANA NA TAASISI MBALIMBALI KUFANYA KAZI ZA KIJAMII KAMA VILE JUHUDI FOUNDATION,MWAMBAO ORGANIZATION, INTERNATIONAL EDUCATORS TRUST FUND TANZANIA,NA TUWAFIKIE TANZANIA. TUNAZIKARIBISHA TAASISI MBALIMBALI TUWEZE KUFANYA KAZI ZA KIJAMII  
UANDAAJI WA BWAWA LA SAMAKI
BWAWA LA SAMAKI AMBALO LIMESHAKAMILIKA
 HAYA NI MABWAWA AMBAYO YAMEKOSA MAJI TUNAWAKARIBISHA WAJASILIAMALI MUWEZE KUJIFUNZA UFUGAJI WA SAMAKI NA ATHARI ZAKE

TYP INATOA NAFASI ZA KUJITOLEA LENGO NI KUWAJENGEA UWEZO VIJANA WA KUFANYA KAZI ZA KIJAMII NA KUWA NA UWEZO MBALIMBALI WA TAALUMA ZAO
MWISHO WA MAOMBI HAYA NI TAREHE 6/5/2017 KWA MAWASILIANO
0714 845940/0758 679661






Followers

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. TZ Youth Potentials - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Inspired by Sportapolis Shape5.com
Proudly powered by Blogger