Karibu Musoma Information Center kwa huduma zifuatazo:- 1) Kwa kutengenezewa design mbalimbali kama za Business card, Vipeperushi, mabango mbalimbali, kadi za Harusi za kisasa zaidi, kadi za mialiko mbalimbali, Vitambulisho vya wanafunzi wa sekondari na katika kampuni mbalimbali ( ID cards) na kadi nyinginezo zenye design ya kuvutia. 2) Kutengenezewa mabango ( Posters) mbalimbali zinazohusu biashara ya mhusika au bidhaa mbalimbali. 3) Kutengenezewa nembo ( LOGO) za kuhusiana kampuni au biashara yako. 4) Tunatengeneza tovuti ( Websites ) zenye kiwango ambacho huwezi amini kama zinatengenezwa musoma, kwa bei nafuu ambayo huwezi ipata kwingine isipo kuwa kwetu. 5) Mwisho tunatoa ushauri na elimu kuhusiana na maswala ya computer.5) Sisi ni watengenezaji wa blog zinazokaa mfumo wa website. kama hii unayoiona.

Welcome to TYPS - ASSOCIATION

Welcome to TYPS - ASSOCIATION

Welcome

A Letter from the Executive Director

Dear All,

As Executive Director it is my pressure to welcome you to TANZANIA YOUTH POTENTIALS ASSOCIATION (TYPs-ASSOCIATION)-a growing youth-led Organization with it’s headquarter in Musoma that operates through legal registration number 00NGO/00006304 under the ACT of 2002 in Tanzania. The focus of the organization is to utilize youth’s potentials for their own development, community and state development at large. It also intends to strengthen regional and international interventions towards protection and promotion of the human rights especially to children, youth and women. It works with networking with other partners/ stakeholders and beneficiaries.

The Organization has the mission of striving and inheriting youth and other community groups with various technical capacities eligible to make them be engines for socio-economic growth for individual benefits, societies and the national at large as such to see a community in which women’s and children’s rights are observed and respected by executing mobilization projects eligible to bring positive changes to community through action and participation in collaboration with community and other stakeholders to prevent Gender Based Violence (GBV).

However the organization is dedicated to develop dynamic and entrepreneurial youths who will engage and realize their full potential and that of their community, their country and the world at large and advocating The National Youth Development Policy

The Secretariat , the Board of Directors and the Annual General Meeting of TYPs-ASSOCIATION eagerly anticipate your arrival and contribution to its future, and welcome you to discover youth development experience that promotes your Personal and intellectual growth

Welcome to TYPs-ASSOCIATION,
Mr. Japheth M. Kurwa
Executive Director


PROGRAM YA UHAMASSHAJI NA MAFUNZO KWA VIJANA.

Friday, January 9, 2015



PROGRAM YA UHAMASSHAJI NA MAFUNZO KWA VIJANA.
Katika mikakati ya kuhamasisha vijana na kuwawezesha kiuchumi, na kijamii, Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imeandaa na kuendesha program ya mafunzo kwa vijana.  Tar 22-24, Desemba 2014 maafisa wa wizara walikuwa mkoani Arusha wakitoa mafunzo hayo kwa halimashauri ya Arusha Jiji, Arusha DC, Meru na Monduli.
Kutokana na umuhimu wa mafunzo haya halimashauri zilizobaki zinatakiwa kuendesha mafunzo haya ifikapo Februari 30, 2015, kwa kushirikiana na maafisa wa mkoa na halmashauri husika. Mada zilizofundishwa ni pamoja na:-
             i.        Sera ya taifa ya maendeleo ya Vijana ya mwaka 2007
            ii.        Stadi za maisha
           iii.        Dhima ya uanzishwaji wa SACCOS za vijana
           iv.        Mwongozo wa uandaaji katiba
            v.        Mwongozo wa utoaji wa mikopo ya mfuko wa maendeleo ya vijana kwenye miradi
           vi.        Usajiri wa vikundi vya vijana
         vii.        Namna ya kuandika miradi
Mada zote nimeziambatanishwa jiandaeni kufanikisha zoezi hili. Aidha mambo ya msingi yatokanayo ni:-
     i.        Mikopo ya vijana toka mfuko wa vijana unaosimamiwa na wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo. Kwa kuanzia wizara imetenga kiasi cha shilingi milioni 30 kwa vikundi 3 kila halmashauri na fedha hizo zitapita kwenye SACCOS za vijana.
    ii.        Uanzishwaji wa SACCOS ya vijana kwa kila halimashauri. Mpaka sasa ni halimashauri tatu tu zilizotekeleza agizo hili kati ya halmashauri saba; ambazo ni halmashauri ya Karatu; SIMBA MASAI SACCOS LTD, Halmashauri ya Meru; MERU VIJANA SACCOS LTD; na Halmashauri ya Longido; LONGIDO VIJANA SACCOS LTD.
Halmashauri zilizokwisha sajiri SACCOS za vijana ifikapo tarehe 30 Januari, 2015 ziwe zimekwisha wasilisha maandiko ya miradi yasiopungua manne kwa Afisa Maendeleo ya Vijana Mkoa tayari kutumwa wizarani.
Sambamba na haya utekelezaji wa agizo la Rais katika sherehe za maadhimisho ya kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru 2014 mkoani Tabora kuhusu maswala ya vijana ikiwa ni pamoja na zoezi la uanzishwaji wa SACCOS za Vijana kama ifuatavyo:-
             i.        Kutenga 5% ya mapato ya halmashauri kwa ajili ya kuwawezesha vijana. Naomba utekelezaji wake ipasavyo.
            ii.        Maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya shughuli za vijana ili kujikwamua kiuchumi; hususani shughuli za kilimo na biashara.

"VIJANA TUNAO WAJIBU WA KUFANYA"

Followers

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. TZ Youth Potentials - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Inspired by Sportapolis Shape5.com
Proudly powered by Blogger