Karibu Musoma Information Center kwa huduma zifuatazo:- 1) Kwa kutengenezewa design mbalimbali kama za Business card, Vipeperushi, mabango mbalimbali, kadi za Harusi za kisasa zaidi, kadi za mialiko mbalimbali, Vitambulisho vya wanafunzi wa sekondari na katika kampuni mbalimbali ( ID cards) na kadi nyinginezo zenye design ya kuvutia. 2) Kutengenezewa mabango ( Posters) mbalimbali zinazohusu biashara ya mhusika au bidhaa mbalimbali. 3) Kutengenezewa nembo ( LOGO) za kuhusiana kampuni au biashara yako. 4) Tunatengeneza tovuti ( Websites ) zenye kiwango ambacho huwezi amini kama zinatengenezwa musoma, kwa bei nafuu ambayo huwezi ipata kwingine isipo kuwa kwetu. 5) Mwisho tunatoa ushauri na elimu kuhusiana na maswala ya computer.5) Sisi ni watengenezaji wa blog zinazokaa mfumo wa website. kama hii unayoiona.

Welcome to TYPS - ASSOCIATION

Welcome to TYPS - ASSOCIATION

Welcome

A Letter from the Executive Director

Dear All,

As Executive Director it is my pressure to welcome you to TANZANIA YOUTH POTENTIALS ASSOCIATION (TYPs-ASSOCIATION)-a growing youth-led Organization with it’s headquarter in Musoma that operates through legal registration number 00NGO/00006304 under the ACT of 2002 in Tanzania. The focus of the organization is to utilize youth’s potentials for their own development, community and state development at large. It also intends to strengthen regional and international interventions towards protection and promotion of the human rights especially to children, youth and women. It works with networking with other partners/ stakeholders and beneficiaries.

The Organization has the mission of striving and inheriting youth and other community groups with various technical capacities eligible to make them be engines for socio-economic growth for individual benefits, societies and the national at large as such to see a community in which women’s and children’s rights are observed and respected by executing mobilization projects eligible to bring positive changes to community through action and participation in collaboration with community and other stakeholders to prevent Gender Based Violence (GBV).

However the organization is dedicated to develop dynamic and entrepreneurial youths who will engage and realize their full potential and that of their community, their country and the world at large and advocating The National Youth Development Policy

The Secretariat , the Board of Directors and the Annual General Meeting of TYPs-ASSOCIATION eagerly anticipate your arrival and contribution to its future, and welcome you to discover youth development experience that promotes your Personal and intellectual growth

Welcome to TYPs-ASSOCIATION,
Mr. Japheth M. Kurwa
Executive Director


MAENDELEO YA VIJANA: TUNAO WAJIBU WA KUFANYA

Thursday, October 16, 2014

Utangulizi
  Changamoto ya maendeleo ya vijana ni suala mtambuka. Uwezeshaji wa vijana unajumuisha juhudi za pamoja za wadau mbalimbali muhimu pamoja na serikali, jamii, sekta binafsi, asasi za kijamii, familia na vijana wenyewe.
  Kwa mujibu wa sera ya Taifa ya Maendeleo ya Vijana ya mwaka 2007; vijana fasili yake ni Vijana wa kiume na kike kuanzia umri wa miaka 15 hadi 35.
Wadau wa Maendeleo ya Vijana
Wadau wa maendeleo ya vijana ni pamoja na:-
  • Serikali
  • Jamii
  • Sekta binafsi
  • Asasi za kijamii
  • Familia
  • Vijana wenyewe
Kada, Ofisi, Idara na Taasisi za Umma Zinazoshughulika moja kwa moja na Masuala/ Maendeleo ya Vijana
  Kada/ofisi ya Maendeleo ya Vijana; inaratibu masuala yote ya vijana
  Kada/ofisi ya Utamaduni
  Kada/ofisi ya Michezo
  Kada/ofisi ya Maendeleo ya Jamii; kwa usajiri wa Vikundi
  Kada/ofisi ya Ushirika; ushauri wa kitaalam na kisheria kuhusu ushirika wa vikundi kama vile SACCOS, VICOBA n.k na Usajili
  Idara ya Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana
  VETA
Fursa za Vijana toka Serikalini
  Mfuko wa Taifa wa Maendeleo ya Vijana; unatoa mikopo kwa vikundi vya maendeleo ya vijana nchini kote kupitia SACCOS za Vijana zinazoendelea kuudwa na vijana wenyewe kila halmashauri nchini
  Mradi wa kufyatua Tofari wa Shirika la Nyumba la Taifa(NHC) kwa halimashauri zote nchini
  Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF); unatoa mikopo ya mitaji kwenye SACCOS zikiwemo zile za Vijana
  Halmashauri; zina mfuko wa kukopesha/ kuwawezesha vikundi vya wanawake na vijana kupitia ofisi ya mtendaji wa kata na Kamati za Maendeleo ya Kata(WDC) n.k
Wosia kwa Vijana na Wadau wa Wamaendeleo ya Vijana
  Taifa halimuangalii kijana kama tatizo bali kama rasilimali na nguvukazi ya kujenga uchumi wa Taifa
  Taifa linatambua ushindani mkubwa wa kimaendeleo baina ya vijana na ubunifu walionao
  Kuna kila haja ya kuwekeza zaidi katika ubunifu wa vijana (Youth initiatives) ili waweze kujiajiri na kuajiri vijana wenzao.
  Tunao wajibu wakufanya; ikiwa ni pamoja na kuchangamkia fursa zote za maendeleo na kuzitumia vizuri.
  Kwa changamoto ya mitaji inayotukabili vijana; tukumbuke umoja ni nguvu  hivyo yatupasa kuunda/ kuanzisha ushirika ili kuweza kupata mitaji
  Vijana wengi hawana mahusiano mazuri na sekta rasmi, hivyo kila mdau atambue anao wajibu wa kufanya ili kusaidia suala la maendeleo ya vijana; hususani kijana mwenyewe

Followers

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. TZ Youth Potentials - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Inspired by Sportapolis Shape5.com
Proudly powered by Blogger