Karibu Musoma Information Center kwa huduma zifuatazo:- 1) Kwa kutengenezewa design mbalimbali kama za Business card, Vipeperushi, mabango mbalimbali, kadi za Harusi za kisasa zaidi, kadi za mialiko mbalimbali, Vitambulisho vya wanafunzi wa sekondari na katika kampuni mbalimbali ( ID cards) na kadi nyinginezo zenye design ya kuvutia. 2) Kutengenezewa mabango ( Posters) mbalimbali zinazohusu biashara ya mhusika au bidhaa mbalimbali. 3) Kutengenezewa nembo ( LOGO) za kuhusiana kampuni au biashara yako. 4) Tunatengeneza tovuti ( Websites ) zenye kiwango ambacho huwezi amini kama zinatengenezwa musoma, kwa bei nafuu ambayo huwezi ipata kwingine isipo kuwa kwetu. 5) Mwisho tunatoa ushauri na elimu kuhusiana na maswala ya computer.5) Sisi ni watengenezaji wa blog zinazokaa mfumo wa website. kama hii unayoiona.

Welcome to TYPS - ASSOCIATION

Welcome to TYPS - ASSOCIATION

Welcome

A Letter from the Executive Director

Dear All,

As Executive Director it is my pressure to welcome you to TANZANIA YOUTH POTENTIALS ASSOCIATION (TYPs-ASSOCIATION)-a growing youth-led Organization with it’s headquarter in Musoma that operates through legal registration number 00NGO/00006304 under the ACT of 2002 in Tanzania. The focus of the organization is to utilize youth’s potentials for their own development, community and state development at large. It also intends to strengthen regional and international interventions towards protection and promotion of the human rights especially to children, youth and women. It works with networking with other partners/ stakeholders and beneficiaries.

The Organization has the mission of striving and inheriting youth and other community groups with various technical capacities eligible to make them be engines for socio-economic growth for individual benefits, societies and the national at large as such to see a community in which women’s and children’s rights are observed and respected by executing mobilization projects eligible to bring positive changes to community through action and participation in collaboration with community and other stakeholders to prevent Gender Based Violence (GBV).

However the organization is dedicated to develop dynamic and entrepreneurial youths who will engage and realize their full potential and that of their community, their country and the world at large and advocating The National Youth Development Policy

The Secretariat , the Board of Directors and the Annual General Meeting of TYPs-ASSOCIATION eagerly anticipate your arrival and contribution to its future, and welcome you to discover youth development experience that promotes your Personal and intellectual growth

Welcome to TYPs-ASSOCIATION,
Mr. Japheth M. Kurwa
Executive Director


TUNAWEZA: MIRADI YA KILIMO

Monday, July 28, 2014





Kikundi cha TUNAWEZA ni ushirika wa hiari wa ujasiriamali wa kilimo, ufugaji na biashara kwa maendeleo ya wanakikundi, kikundi, jamii na taifa kwa ujumla. Kikundi hiki kipo Mtaa wa Kiara, Kata ya Kigera, Manispaa ya Musoma.

Katibu wa kikundi, Japheth M. Kurwa alisema yafuatayo “Tunaimani juu ya kilimo, na kwa sasa tunayo miradi miwili ya kilimo; wa kwanza ni mradi wa kilimo cha Mhogo katika eneo la Kisiwani-Kiara lililoko wilayani Manispaa ya Musoma, na kwa mradi huu tunazo ekari 5, na mradi wa pili ni kilimo cha zao la biashara la mahindi, katika eneo la bonde la mto Suguti lililoko wilayani Bunda mkoani Mara. Tunazo hekari 15 za mahindi tutakazolima msimu.

Miradi yote hii tunajikita katika kuzalisha katika hali ya ubora na ufanisi ili kupunguza balaa la njaa katika jamii na kwa taifa kwa ujumla, ikiwa ni pamoja na wanakikindi kujiajiri katika kilimo.

Pamoja na jitihada zote hizi katika kilimo bado tunakabiliwa na changamoto ya ukosefu mitaji ili tuweze kuwekeza na kuzalisha kwa ufanisi mkubwa. Tunaupungufu wa pembejeo za kilimo na nyenzo za kisasa ambayo huadhili miradi hii kwa kiasi kikubwa.

Changamoto ya pili ni ya mabadiliko ya tabia nchi, hii inatulazimu kununua machine za umwagiliaji kwani mvua sasa ni tatizo.
Kama kikundi tunayo mikakati madhubuti ya kuweza kupata mikopo na kwa sasa tumekwisha omba toka Halmashauri ya Manispaa ya Musoma kupitia fedha za vijana-Katani kufadhili mradi wa kilimo cha Muhogo, pia temeomba fedha toka Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo kupitia mfuko wa maendeleo ya vijana. Lakini pia wanakikundi tunao utaratibu wa kuchangia miradi hii. Mwenyezi Mungu akitujaharia kupata fedha hizi tunaamini kupitia kilimo tutafanya mambo makubwa.

Si sahihi kuwa na dhana kwamba kilimo cha biashara kinaweza kufanywa na watu wenye kipato cha kati na cha juu. Tumeanza mwaka jana miradi yote hii na sasa tumeona kuwa inawezekana na TUNAWEZA kwani wazo tunalo, watu tunao na kwa umoja wetu tutaujenga uchumi wetu”.

Followers

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. TZ Youth Potentials - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Inspired by Sportapolis Shape5.com
Proudly powered by Blogger