Karibu Musoma Information Center kwa huduma zifuatazo:- 1) Kwa kutengenezewa design mbalimbali kama za Business card, Vipeperushi, mabango mbalimbali, kadi za Harusi za kisasa zaidi, kadi za mialiko mbalimbali, Vitambulisho vya wanafunzi wa sekondari na katika kampuni mbalimbali ( ID cards) na kadi nyinginezo zenye design ya kuvutia. 2) Kutengenezewa mabango ( Posters) mbalimbali zinazohusu biashara ya mhusika au bidhaa mbalimbali. 3) Kutengenezewa nembo ( LOGO) za kuhusiana kampuni au biashara yako. 4) Tunatengeneza tovuti ( Websites ) zenye kiwango ambacho huwezi amini kama zinatengenezwa musoma, kwa bei nafuu ambayo huwezi ipata kwingine isipo kuwa kwetu. 5) Mwisho tunatoa ushauri na elimu kuhusiana na maswala ya computer.5) Sisi ni watengenezaji wa blog zinazokaa mfumo wa website. kama hii unayoiona.

Welcome to TYPS - ASSOCIATION

Welcome to TYPS - ASSOCIATION

Welcome

A Letter from the Executive Director

Dear All,

As Executive Director it is my pressure to welcome you to TANZANIA YOUTH POTENTIALS ASSOCIATION (TYPs-ASSOCIATION)-a growing youth-led Organization with it’s headquarter in Musoma that operates through legal registration number 00NGO/00006304 under the ACT of 2002 in Tanzania. The focus of the organization is to utilize youth’s potentials for their own development, community and state development at large. It also intends to strengthen regional and international interventions towards protection and promotion of the human rights especially to children, youth and women. It works with networking with other partners/ stakeholders and beneficiaries.

The Organization has the mission of striving and inheriting youth and other community groups with various technical capacities eligible to make them be engines for socio-economic growth for individual benefits, societies and the national at large as such to see a community in which women’s and children’s rights are observed and respected by executing mobilization projects eligible to bring positive changes to community through action and participation in collaboration with community and other stakeholders to prevent Gender Based Violence (GBV).

However the organization is dedicated to develop dynamic and entrepreneurial youths who will engage and realize their full potential and that of their community, their country and the world at large and advocating The National Youth Development Policy

The Secretariat , the Board of Directors and the Annual General Meeting of TYPs-ASSOCIATION eagerly anticipate your arrival and contribution to its future, and welcome you to discover youth development experience that promotes your Personal and intellectual growth

Welcome to TYPs-ASSOCIATION,
Mr. Japheth M. Kurwa
Executive Director


TANLAP YATOA MAFUNZO YA WATU WENYE ULEMAVU NA USULUHISHI MBADALA WA MIGOGORO

Saturday, March 29, 2014



Mtandao wa watoa msaada wa kisheria (TANZANIA NETWORK OF LEGAL AID PROVIDERS-TANLAP) inaendesha mafunzo ya sheria ya watu wenye ulemavu na usuluhishi mbadala wa migogoro, kwa wanachama wake wapatao 60. Mafunzo yamefanyika kwa siku tatu kuanzia tarehe 27/3/2014 hadi 29/3/2014 katika Hotel ya Tamal jijini Dar es Salaam.
ü  Siku ya Kwanza: 27/3/2014: Sheria ya Watu wenye Ulemavu
ü  Siku ya Pili: 28/3/2014: Utatuzi wa Migogoro Kutumia Njia Mbadala
ü  Siku ya Tatu:  29/3/2014: Utatuzi Mbadala ya Migogoro
Bwn. Gideoni Mandesi (Wakili), kama mwezeshaji wa mafunzo sheria ya watu wenye ulemavu akifafanua Sheria Na. 9 ya mwaka 2010 alieleza makundi 7( Upofu, viungo, akili, kiziwi, ulemavu wa ngozi, , uono hafifu na ulemavu wa viungo) ya walemavu na kusisitiza kwamba pamoja na uwepo wa sheria hii Asasi za kiraia zina wajibu kisheria wa kufanya ili sheria hii iwasaidie walengwa, na kusisitiza misingi ya sheria hii (Kifungu cha 4. (a)-(g) kama ifuatavyo.
a)      Kuheshimu utu, uhuru wa mtu
b)      Kutobaguliwa
c)       Kushurikishwa katika nyaja zote katika jamii
d)      Usawa wa fursa
e)      Ufikikaji
f)       Usawa wa kijinsia kwa kutambua haki na mahitaji ya walemavu
g)      Kutoa usalama na ulinzi wa kijamii

Adhabu kwa Unyanyapaa wa Walemavu
1)      Kwa taasisi; faini isiyo chini ya shilingi millioni mbili(2,000,000/=)  na isiyopungua shilingi million ishirini (20,000,000/=)
2)      Kwa mtu binafsi; faini isiyopungua shilingi laki tano (500,000/=) na isiyozidi shilingi milioni saba(7,000,000/=) au
Kufungwa jela mwaka mmoja au vyote kwa pamoja
Bwn James Marenga (wakili), mwezeshaji wa usuluhishi mbadala wa migogoro. Alitoa hatua 7 za ukuaji wa migogoro
1)      Kutokuwepo taarifa na takwimu sahihi
2)      Mahusiano
3)      Thamani
4)      Muundo
5)      maslahi
Aidha alisisitiza ni vizuri na muhimu sana kila sahuli lipitie hatua ya  usuluhishi mbadala wa migogoro kabla ya shauri hilo kwenda kwenye ngazi za mahakama na sheria inalitambua hilo na kulipa uzito. na kuwataka washiriki hao ambao ni wanachama wa mtandao huo kutumia njia mbadala wa usuluhishi wa migogoro kabla ya mashauri hayo kwenda mahakamani akibainisha na faida zake katika tathnia ya sheria.

Followers

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. TZ Youth Potentials - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Inspired by Sportapolis Shape5.com
Proudly powered by Blogger